Arsenal kukamilisha usajili wa kiungo Denis Suarez

Denis Suarez


Arsenal wanakaribia kufunga kandarasi ya kiungo Denis Suarez . Dili hili linakusudiwa kwa la mkopo ambaouna weza kuja kubadilika na kuwa mkataba wa moja kwa moja.

Kochamkuu wa Barcelona coach Ernesto Valverde kasema Usajili bado hauja kamilika , ila ni makubaliano yaliyokubaliwa kwa pande zote mbili na wakiwa na matuamaini kila kitu kitakuwaa sawa.

vyombo vya habari vya Hispania vinasema kuwa Barcelona wataongea kandarasi ya Suarez' hadi 2021.
Previous Post Next Post

Translate