Newcastle wamekubali ofa ya Miguel Almiron kutoka kwa Atlanta United

Miguel Almiron akicheza MLS football akiwa na timu ya Atlanta


Newcastle imukubali matakwa ya Atlanta United kuhusiana na hatima ya Miguel Almiron.

imeeleweka kuwa kiungo huyo wa MLS atasafiri kwenda Uingereza usiku wa jum kwa ajili ya vipima .

Ada ya uhamisho inakadiliwa kuwa (£20m) bilioni 60.5 za kitanzania, ambayo itakuwa ni rekodi ya Newcastle kutoa tangu kununuliwa kwa Michael Owen kwa £16.5m (bilion 48.4) mwaka 2005.

Atlanta walimuwekea thamani ya  £30m kwenye dilisha la usajili, ila waliishusha dau hilo.
Previous Post Next Post

Translate