![]() |
Idrissa Gueye |
Everton wamekataa ongezeko la £26.2m (bil. 79) kutoka kwa Paris St Germain's kwa kiungo wao wa kati Idrissa Gueye,
na Everton
Mchezaji huyo kutokea timu ya Senegal hakufurahishwa na taarifa hizo ambapo alikuwa na matumaini ya kundoka kwenye ligi hiyo (Ligue 1)
Gueye anamchango mkubwa sana kwenye klabu ya Everton kama kiungo muhimu kwa takliban miaka miwili na nusu akitoke klabu ya Aston Villa kwa ada ya £7.6m (bil. 26)
Amecheze mechi 20 kwenye Premier Leaguemsimu huu ukijumuisha na mechi za timu ya Taifa lake Senegal majira ya joto yaliyopita