Michy Batshuayi kukamilisha uhamisho kwa mkopo kwenda Crystal Palace

Chelsea kukataa mkopo wa Striker mbeligiji kwenda Tottenham

 
Michy Batshuayi

Michy Batshuayi kukwea pipa kwenda Crystal Palace akitokea Chelsea dakika za mwisho kabla ya dilisha la usajili kufungwa.

Usiku wa kuamkia leo ndipo dili hilo lilifanyika Baada ya Chelsea kuikataa ofa ya Tottenham ambapo ofa hiyo haikuwa na mashiko kama ambayo hayakuwavutia mianba hao.

Bosi wa Crystal Palace Steve Parish kuipongeza klanbu yake kwa kufanikisha uhamisho huo
Previous Post Next Post

Translate