Africa Cup of Nations: Nigeria, Afrika kusini na Mali kuunga na Senegal nusu Failnali U20


Mataifa ya  Nigeria, Afrika kusini na Mali kuungana na Senegali ndani ya nusu fainali za U20 Africa Cup of Nations inayo fanyika nchini  Niger , hii ikimaanisha kuwa timu zote nne zitaunga na nyingine kwenye mashindano ya Dunia yatakayofanyika Poland mweezi wa Tano

Mali kujihakikishia nafasi hiyo ya nusu fainali kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Ghana ambao walikuwa mabingwa watetezi wa U20 kwenye mchezo uliochezwa Jumamosi iliyopita  .


Hadji Drame  aliifungia Mali dakika ya 53 na kuiweka kifua mbele kuelekea kwa mara ya Saba kwenye hatua hio katika mashindano hayo.
Previous Post Next Post

Translate