African Champions League: Simba kulipa kisasi na kuacha Ahly wakiugulia



Simba kutoka Tanzania kulipa kisasi cha kipigo cha 5-0 walichokipata nyumbani kwa Misri kwa kuwapiga 1-0 Image result for African Champions League

Ushindi huo ulikamilishsa msimamo wa siku nne za michuano hiyo ya mabara ya klabu bingwa.

Mabingwa watetezi Esperance wanaongoza kundi baada ya kushinda mechi 2 kwenye kundi lao.Guinea  Horoya na JSS kutokea Algeria na wao kujinyakulia ushindi , huku mechi nyingine tatu kuisha kwa kutoka droo ya bila kufungana
Previous Post Next Post

Translate