M-Argentina kuinyanyua kwa nguvu Chelsea kwa kutupia goli 1-0 dhidi ya Huddersfield kwenye uwanja wa Stamford Bridge
Higuain alikamilisha uhamisho wake wa mkopo na kujuinga na Chelsea hapo Januari baada ya kuuvunja mkataba wake mrefu akitokea AC- Milan.
akijiunga na bosi mpya wa Chelsea Maurizio Sarri , tangu walipokutana walipo kuwa wote Napoli kwenye msimu 2005/2006.
Tegemezi linamwanhgukia m_Taliano huyo baada ya kuonyesha uwezo wake wa kufunga magoli mda mfupi tu! baada ya kuingia uwanjani.
![]() | |||||
Higuain akishangilia goli akiwa na uzi wa Chelsea |
akijiunga na bosi mpya wa Chelsea Maurizio Sarri , tangu walipokutana walipo kuwa wote Napoli kwenye msimu 2005/2006.
Tegemezi linamwanhgukia m_Taliano huyo baada ya kuonyesha uwezo wake wa kufunga magoli mda mfupi tu! baada ya kuingia uwanjani.