Yanga Yaangukia Pua Kesi ya Morrison

 

MCHEZAJI wa Simba, Bernard Morrison ameshinda kesi ilipelekwa na klabu ya Yanga katika mahakama ya usuluhishi wa Michezo (CAS).

Yanga walipeleka kesi hiyo CAS baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya kamati ya haki na maadili na hadhi ya Wachezaji ambayo ilitoa hukumu kuwa mkataba wa Yanga na Morrison ulikuwa na mapungufu hivyo ikaruhusu usajili kwenda Simba.

Kwa upande wao Yanga wamekuwa wakisisitiza kuwa Morrison ni mchezaji wao halali. Morrison alisajiliwa Yanga katika dirisha dogo 2019/2020, ambayo aliitumikia kwa miezi kadhaa kabla ya kutimkia Simba.

MCHEZAJI wa Simba, Bernard Morrison ameshinda kesi ilipelekwa na klabu ya Yanga katika mahakama ya usuluhishi wa Michezo (CAS).

Yanga walipeleka kesi hiyo CAS baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya kamati ya haki na maadili na hadhi ya Wachezaji ambayo ilitoa hukumu kuwa mkataba wa Yanga na Morrison ulikuwa na mapungufu hivyo ikaruhusu usajili kwenda Simba.

Kwa upande wao Yanga wamekuwa wakisisitiza kuwa Morrison ni mchezaji wao halali. Morrison alisajiliwa Yanga katika dirisha dogo 2019/2020, ambayo aliitumikia kwa miezi kadhaa kabla ya kutimkia Simba.


Previous Post Next Post

Translate